Kuchangia damu ni tendo la kiutu lenye thamani kubwa sana katika jamii. Ni zawadi ya uhai ambayo mtu mmoja anaweza kumpa mwingine bila gharama yoyote. Damu ni rasilimali muhimu inayohitajika... Read More
Kuchangia damu ni tendo la kiutu lenye thamani kubwa sana katika jamii. Ni zawadi ya uhai ambayo mtu mmoja anaweza kumpa mwingine bila gharama yoyote. Damu ni rasilimali muhimu inayohitajika... Read More
Mganga Mkuu wa Serikali amefanya ziara katika kituo cha Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) Kanda ya Ziwa kwa lengo la kukagua na kujionea hali ya utoaji huduma za damu salama katika eneo ... Read More
Wizara ya Afya kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama kwa kushirikiana na Klabu ya Simba, imeanza rasmi zoezi la uchangiaji damu kuanzia jana na litaendelea hadi Septemba 10, 2025, kuelekea ... Read More
Tarehe 23 Julai 2025, Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) kwa kushirikiana na Jamiyatul-Akhlaaq Islaam (JAI) wamefanya tukio la kilele na maadhimisho ya Wiki ya JAI katika Uwanja wa Mavund... Read More
Programu ya NBTS PT, inayohusika na uandaaji wa sampuli za kupima ubora katika eneo la utambuzi wa makundi ya damu, hivi karibuni imefanyiwa ukaguzi wa awali na wakaguzi kutoka Shirika la Af... Read More
Mpango wa Taifa wa Damu Salama umetunukiwa tuzo kwa kuongoza mpango bila deni na cheti cha shukurani kwa ushirikiano mkubwa na MSD. Tunathamini sana heshima hii na tunajivunia kushirikiana n... Read More
Mpango wa Taifa wa Damu Salama umezindua kampeni ya uhamasishaji wa wananchi ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kampeni ya kitaifa ya ukusanyaji damu ya mwezi Disemba, 2023. Mpango wa Tai... Read More
Mpango wa Taifa wa Damu Salama, unaendelea kujenga uwezo katika hospitali za Rufaa za Mikoa nchini ili kuweza kutengeneza mazao ya damu na kuboresha ubora wa huduma za damu salama nchini. Ta... Read More
Waziri wa Afya. Mhe: Ummy Mwalimu ametembelea Makao makuu na kanda ya mashariki ya Mpango wa Taifa wa Damu Salama kuona hali ya upatikanaji wa damu na kufuatilia utekelezajaji wa maelekezo a... Read More
Wizara ya Afya kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI iliendesha Kampeni ya ukusanyaji wa damu kuanzia tarehe 20-24 Machi 2023 Lengo lilikuwa ni ku... Read More