Hadi sasa hakuna utaalamu wa kuzalisha damu nje ya binadamu. Kwa hiyo, wewe ni miongoni mwa wanaopaswa kujitolea damu. Unapojitolea damu unashiriki kikamilifu kuokoa maisha ya binadamu
Hapana.
Kuchangia damu ni kitendo salama kabisa kwani vifaa vyote vinavyotumikwa ni safi na salama hutumika mara moja kwa mtu mmoja.
Damu itapimwa vipimo vifuatavyo:-
Ndio
Utapewa majibu yako kupitia mshauri nasaha baada ya kupimwa. Vipimo vyote vya maabara hufanywa kwa usiri wa hali ya juu. Hakuna mtu yeyote atakayeambiwa majibu ya vipimo vyako bila ya idhini yako.
changia damu
Kuchangia damu hakuathiri uwezo wa kufanya michezo, mazoezi au shughuli nyingine za mwili. Ushauri unaotolewa ni kuepuka kuinua vitu nzito au mazoezi magumu kwa siku nzima baada ya kutoa damu. Unaweza kuendelea na uinuaji wa vitu vizito au mazoezi magumu kwenye siku inayofuata hasa kwenye mkono uliochomwa sindano.
Mtu yeyote, mwanamke au mwanaume anaweza kuchangia damu kama ana vigezo vifuatavyo:
Umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 65
Uzito usiopungua kilo 50
Kwa mwanamke asiwe mjamzito au anaenyonyesha
Asiwe na maradhi ya muda mrefu kama Shinikizo la damu, Kisukari, Kifafa, Pumu n.k
Awe mzima wa afya njema na asiwe na Homa
Asiwe na mienendo hatarishi ya kupata maambukizi ya magonjwa kama Homa ya Ini (B&C), UKIMWI (HIV/AIDS)
Mwanamke anaweza kuchangia kila baada ya Miezi 4 na Mwanaume kila baada ya Miezi 3.
Huwezi kupata maambukizi yoyote wakati wa kuchangia damu. Wafanyakaziwa Mpango ni watu wenye weledi na hutumia vifaa viliyotasishwa (sterile) na vikishatumika hutupwa kwa njia salama.
Blood is needed to save lives in times of emergencies and to sustain the lives of those with medical conditions, like leukemia, as well as patients who are undergoing major surgeries. For many patients, blood donors are their lifeline. One unit of blood can save three lives, Blood and platelets cannot be manufactured; they can only come from volunteer donors.
Blood is needed to save lives in times of emergencies and to sustain the lives of those with medical conditions, like leukemia, as well as patients who are undergoing major surgeries. For many patients, blood donors are their lifeline. One unit of blood can save three lives, Blood and platelets cannot be manufactured; they can only come from volunteer donors.